Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Mh. Edward Lowassa akihutubia mamia ya wakazi wa jimbo la Vunjo Mkoani Kilimanjaro
Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Mh. Edward Lowassa akihutubia mamia ya wakazi wa jimbo la Vunjo Mkoani Kilimanjaro
Mgombea ubunge wa Jimbo la Vunjo Mh James Mbatia akihutubia katika mkutano wa kampeni jimbo la Vunjo
Mgombea ubunge wa Jimbo la Vunjo Mh James Mbatia akihutubia katika mkutano wa kampeni jimbo la Vunjo
Mh James mbatia akisalimiana na mgombea Urais Mh Edward Ngoyai Lowassa wakati alipowasili jimboni Vunjo kwenye mkutano wa kampeni za Urais na Ubunge
Mh James mbatia akisalimiana na mgombea Urais Mh Edward Ngoyai Lowassa wakati alipowasili jimboni Vunjo kwenye mkutano wa kampeni za Urais na Ubunge
Mgombea ubunge wa Jimbo la Vunjo James Mbatia akielekea katika kampeni Vunjo mkoani Kilimanjaro
Mgombea ubunge wa Jimbo la Vunjo James Mbatia akielekea katika kampeni Vunjo mkoani Kilimanjaro
Mgombea urais Edward Lowassa akiwa pamoja na Frederick Sumaye wakielekea kuanza mkutano Vunjo, Kilimanjaro
Mgombea urais Edward Lowassa akiwa pamoja na Frederick Sumaye wakielekea kuanza mkutano Vunjo, Kilimanjaro
Mbatia akipewa baraka za kimila
Mbatia akipewa baraka za kimila
Palikuwa hapatoshi
Palikuwa hapatoshi
Kila mtu hakutakwa kushuhudia
Kila mtu hakutakwa kushuhudia
Tundu Lissu akimwaga sera
Tundu Lissu akimwaga sera
Edward Lowassa akiwa katika halaiki ya watu Vunjo mkoani Kilimanjaro. Picha na Chadema Blog
Edward Lowassa akiwa katika halaiki ya watu Vunjo mkoani Kilimanjaro. Picha na Chadema Blog