|
Mh.Jaji Lubuva akihutubia waandishi wa habari |
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Jaji Damian Lubuva amesema kuwa matokeo ya uchaguzi yatabandikwa kwa kila kituo ikiwa ni yale ya Udiwani,Mbunge pamoja na ya Urais.
Jaji Lubuva amesema kuwa kura zote zitaboreshwa na kujumlishwa katika eneo husika pamoja na kutangazwa,amedai kuwa mwaka huu wameboresha zaidi ili kila kitu kiwe wazi kwa wananchi wote.
chanzo;eatv.online
Claritas est etiam processus dynamicus, qui sequitur mutationem consuetudium lectorum. Mirum est notare quam littera gothica, quam nunc putamus parum claram, anteposuerit litterarum formas humanitatis per seacula quarta decima et quinta decima.
0 comments