Rais Jakaya Kikwete azindua jengo la PSPF jijini Dar es salaam
 |
Picha ya PSPF TOWER |
Jengo hilo ni kati ya majengo machache marefu barani Afrika na linaongoza Africa Mashariki na kati, kwa urefu wa. Mita 147 lina minara miwili,na ukubwa wa mita za mraba 73,000.
PSPF Tower imegharimu shilingi bilioni 139.20 za Tanzania na ujenzi wake umechukua kipindi cha miaka minne, ndani yake kuna ofisi na nyumba za kuishi 88 pia mgahawa,bwawa la kuogelea,mabenki,sehemu ya kufanyia mazoezi na maegesheo ya magari.
Claritas est etiam processus dynamicus, qui sequitur mutationem consuetudium lectorum. Mirum est notare quam littera gothica, quam nunc putamus parum claram, anteposuerit litterarum formas humanitatis per seacula quarta decima et quinta decima.
0 comments