Austria inatarajia kupokea
wahamiaji wapatao 10,000 wengi wao wakiwa wakimbizi kutoka nchini Syria
watakao ingia nchini Austria kutokea Hungary.
Usiku wa kuamkia leo
wafanyakazi wa Shirika la misaada walipokea watu wengi sana baada
ya Hungary kutuma mabasi kuwachukua kutoka mpakani.
Treni maalum zimeandaliwa kuwasafirisha kwenda Vienna.
Serikali ya Budapest imesema hakuna mabasi na treni hii imechangia makundi mengine ya watu waaanze kutembea kwa miguu kutoka mjini kuelekea kwenye mipaka ya Austria.
chanzo:BBC-Swahili
Treni maalum zimeandaliwa kuwasafirisha kwenda Vienna.
Serikali ya Budapest imesema hakuna mabasi na treni hii imechangia makundi mengine ya watu waaanze kutembea kwa miguu kutoka mjini kuelekea kwenye mipaka ya Austria.
chanzo:BBC-Swahili
0 comments