Bondia Mmarekani Floyd Mayweather ametumia pound milioni 3 kununua gari la kipekee
duniani. Mpaka sasa magari haya yametengenezwa mawili tu na yeye
anamiliki moja.
Floyd aka ‘Money Man’ ameweka picha hii mtandaoni akiwa na gari ya rangi
ya silver ya kampuni ya Koenigsegg. Gari hili linaitwa CCXR Trevita.
Picha iliambatana na ujumbe uliosema ‘My new 4.8 million dollar car, Koenigsegg made only two Trevita’s for the world and this is No.2 of 2.”
0 comments